JE UNAPENDA KUJIFUNZA KUTENGENEZA MUZIKI ?
MPYA:
Vijana wengi kwa sasa wanatamani kujifunza muziki, kutengeneza muziki na hata kusimamia shughuli za muziki. Jambo hili linaonekana ni rahisi sana hasa kwa sababu, moja kila mtu anaamini anajua kuimba, pili, muziki unafanywa na watu wengi ambao hawakusoma elimu za juu(waimbaji) , tatu, kila mtu ananafasi ya kufanya muziki. Lakini Je? Wanafanya muziki kwa usahihi?, Wanafanya muziki wa kibiashara?...... Haya ni maswali muhimu sana ya kujiuliza kama unapenda kujifunza muziki.
Sekta hii ya muziki ina ina mambo mengi sana ambayo kwa namna moja au nyingine inatoa fursa za ajira kwa watu mbalimbali, lakini ningependa kuzungumzia fursa tatu kubwa ambazo kwa sasa ni ajira rasmi ama za kuajiriwa au za kujiajiri….
1. Kuzalisha muziki (Producer)
2. Kuimba ( Artist)
3. Usimamizi wa muziki (Management)

Maoni
Chapisha Maoni
Tafadhali zingatia maadili unapotoa maoni