JE UNAPENDA KUMILIKI STUDIO YAKO?

MPYA:
Studio ni mahali ambapo huwa panaandaliwa maalumu kwa ajili ya kufanyia kazi mbalimbali kama vile stesheni za Redio, kuandaa muziki, filamu na hata kufanyia mahojiano ya vipindi mbalimbali vya televisheni.

Hapa nitazungumzia zaidi kuhusu Studio za kuzalisha Muziki (Music production Studio). Jambo kubwa ambalo ningependa ufahamu ni  kwamba utengenezaji wa muziki ni fani kubwa sana Afrika Mashariki  na Duniani kwa sasa. zipo kozi mbalimbali zinazofundisha maswala haya ya muziki katika vyuo mbalimbali duniani na mojawapo ya kozi hizo ni Sound Engineering.

                                                               

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

JE UNAPENDA KUJIFUNZA VIDEO EDITING ?

JE UNAPENDA KUJIFUNZA KUTENGENEZA MUZIKI ?