Machapisho

JE UNAPENDA KUJIFUNZA KUPIGA / KUEDITI PICHA ?

Picha
MPYA: Upigaji wa picha za mgando ni moja kati ya fani muhimu sana nyakati za sasa, wakati ambapo Biashara nyingi kwa kiasi kikubwa zinfanywa hasa kwa kutumia mitandao. Awali upigaji wa picha za mgando ulikuwa kwa ajili ya kutunza kumbukumbu kwa shughuli na matukio ya kijamii, kisiasa,kiutamaduni na kiutafiti hasa wa kisayansi. Lakini kwa wakati huu picha za mgando zimekuwa ni bidhaa yenye thamani kubwa sana kutokana na mapinduzi ya  biashara mtandao,  ambapo kwa kiasi kikubwa picha za mgando zinatumika katika kutangaza na kutambulisha bidhaa mbalimbali katika soko kubwa la biashara mtandao ikiwemo Utalii. Bofya hapa kuendelea.....                                                                

JE UNAPENDA KUJIFUNZA VIDEO EDITING ?

Picha
MPYA: Vijana wengi kwa sasa wanatamani kujifunza kuigiza, kutengeneza filamu na hata kusimamia shughuli za filamu. Jambo hili linaonekana ni rahisi sana hasa kwa sababu,  moja kila mtu anaamini anajua kuigiza,  pili, filamu inafanywa na watu wengi ambao hawakusoma elimu za juu(Waigizaji) , tatu, kila mtu ananafasi ya kufanya filamu. Lakini  Je? Wanafanya filamu kwa usahihi?, Wanafanya filamu za kibiashara?......   Haya ni maswali muhimu sana ya kujiuliza kama unapenda kujifunza kuhusu filamu. Sekta hii ya filamu ina ina mambo mengi sana ambayo kwa namna moja au nyingine inatoa fursa za ajira kwa watu mbalimbali, lakini ningependa kuzungumzia fursa tatu kubwa ambazo kwa sasa ni ajira rasmi ama za kuajiriwa au za kujiajiri…. 1. Kuzalisha filamu          (director) 2. Kuchukua picha           ( Video shooting) 3. Usimamizi wa filamu   (Management ) Bofya hapa kuendelea.......       ...

JE UNAPENDA KUMILIKI STUDIO YAKO?

Picha
MPYA: Studio ni mahali ambapo huwa panaandaliwa maalumu kwa ajili ya kufanyia kazi mbalimbali kama vile stesheni za Redio, kuandaa muziki, filamu na hata kufanyia mahojiano ya vipindi mbalimbali vya televisheni. Hapa nitazungumzia zaidi kuhusu Studio za kuzalisha Muziki (Music production Studio). Jambo kubwa ambalo ningependa ufahamu ni  kwamba utengenezaji wa muziki ni fani kubwa sana Afrika Mashariki  na Duniani kwa sasa. zipo kozi mbalimbali zinazofundisha maswala haya ya muziki katika vyuo mbalimbali duniani na mojawapo ya kozi hizo ni Sound Engineering. Bofya hapa Kuendelea......                                                                

JE NI PROGRAMU GANI INANIFAA ?

Picha
MPYA: Haya ni makundi ya aina mbalimbali za  program ambazo unaweza ukazipata, ukaingiziwa katika komyuta yako na kufundishwa namna ya kutumia....   karibu Bofya Hapa kuendelea....                                                                

JE KOMPYUTA YAKO INA HITILAFU / IMEHARIBIKA ?

Picha
MPYA: Katika ulimwengu wa sasa wa Teknolojia, matumizi ya kompyuta yamekuwa muhimu sana katika shughuli zetu mbalimbali za kila siku, iwe nyumbani, ofisini au katika maeneo mbalimbali ya mapumunziko hasa nyakati za likizo. Maranyingi watu wengi wanaonunua vifaa hivi vya teknolojia huwa na malengo mazuri sana, hususani ya kibiashara. Lakini kumekuwa na shida kubwa sana kwa watu wanaomiliki kompyuta na vifaa ambata kutokuwa na mpango mkakati wa kuvifanyia matengenezo ya mara kwa mara hali inayopelekea kupata hasara ya kufa kwa vifaa hivi na kupelekea hasara katika biashara zao pia. Bofya hapa kuendelea.....                                                                

JE UNAPENDA KUJIFUNZA KUTENGENEZA MUZIKI ?

Picha
MPYA: Vijana  wengi kwa sasa wanatamani kujifunza muziki, kutengeneza muziki na hata kusimamia shughuli za muziki. Jambo hili linaonekana ni rahisi sana hasa kwa sababu, moja kila mtu anaamini anajua kuimba, pili, muziki unafanywa na watu wengi ambao hawakusoma elimu za juu(waimbaji) , tatu, kila mtu ananafasi ya kufanya muziki. Lakini  Je? Wanafanya muziki kwa usahihi? ,  Wanafanya muziki wa kibiashara?......  Haya ni maswali muhimu sana ya kujiuliza kama unapenda kujifunza muziki. Sekta hii ya muziki ina ina mambo mengi sana ambayo kwa namna moja au nyingine inatoa fursa za ajira kwa watu mbalimbali, lakini ningependa kuzungumzia fursa tatu kubwa ambazo kwa sasa ni ajira rasmi ama za kuajiriwa au za kujiajiri…. 1. Kuzalisha muziki          (Producer) 2. Kuimba                           ( Artist) 3. Usimamizi wa muziki   (Management) Bofya hapa kuendelea......